Kikosi cha Yanga tayari kimeondoka jijini Dar es Salaam kuelekea Kigali, Rwanda kwa ajili ya mchezo wa kimataifa wa klabu bingwa Afrika dhidi ya APR utakaopigwa Jumamosi March 12, 2016.
Mabingwa hao watetezi wa taji la VPL wameondoka na ndege ya shirika la Rwanda (Rwanda Air).



No comments:
Post a Comment